Msaada wa Taarifa juu ya Chuo cha Makerere

Mkuu nina 5m za kitanzania, je itatosha kusoma MA hapo makerere? Baada ya course work, research nakuja kufanyia Tanzanian? Inakubalika?
 
Mkuu nina 5m za kitanzania, je itatosha kusoma MA hapo makerere? Baada ya course work, research nakuja kufanyia Tanzanian? Inakubalika?
Mkuu sina hakika sana kama itatosha ila hata kama haititosha utaongeza kidogo sana....pitia kwenye website ya chuo kila kitu kipo kwa maana ya ada......nje ya ada uweke hostel laki 8 ya Uganda kwa mwaka had milion moja which is almost laki 5 ya hapa kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom