Msaada wa sumu ya paka

Nyaubikra

JF-Expert Member
Sep 21, 2019
1,085
2,660
Habarini na mihangaiko wakuu

Mimi Kama member wa humu sio mjuzi Sana na mzoefu wa kutumia JF app lakini katika kupitapita siku moja sijui ni category ipi nikakuta wanazungumzia kuhusu kuhusu sumu ya kuwauwa Hawa wanyama aina ya paka 🐈 Mana kwa sumu za panya imeshindkana kabisa

Naomben msaada ni sumu gani unaweza kuwauwa Mana katika ule Uzi niliona wametaja na jina Ila sikumbuki na sijui ku-search

Location ninayoishi ni Mbeya kama mtu atanielekeza duka nikaipata ntashukuru sana🙏🙏
 
Mbeya sehemu gani. Wako wangapi ili niandae mishale ya kuwatosha nije nimalizane nao chap.
Paka hahitaji sumu, labda kama ulikusudia panya.
mi nipo TAZAMA
 
Umekusudia kumua paka kwani kakukosea nn
Screenshot_20200831-213644_One%20UI%20Home.jpg
 
Duh, we Jamaa katili sana, kwa nini uue Paka?. viumbe wastaarabu sana....kama huwataki hapo walipo tafuta namna uwakamate ukawaache mahali watapata hifadhi kwa wengine.
 
Kuna jamaa ananunua paka anakula yupo maeneo ya uyole tazara, anaitwa Kenyatta.
 
lakini katika kupitapita siku moja sijui ni category ipi nikakuta wanazungumzia kuhusu kuhusu sumu ya kuwauwa Hawa wanyama aina ya paka 🐈 Mana kwa sumu za panya imeshindkana kabisa
Jaribu hii.
Karanga sisage halafu nyunyizia kidogo kamchuzi ka samaki changanya na cement upate uji mzito pembeni mtengee maji kidogo, hapati haja hadi kifo kutokana na tofali la block ulilolifyatua
Chanzo:
- Nani anayejua hili?
 
Tatizo sio wadogo wakuweza kuwakamata Ila ni wazoefu was kukimbia na kula vyakula vya sumu bila kufa.
 
Niliwapenda tu nikiwa mdogo Ila Sasa nawachukia
Tumia ratox kutoka msumbiji weka pact 3 kwa kila chakula kidogo unachotega, akila hataweza kufika hata mita 15 atafia hapo hapo.

Mimi nawaua sana kwasababu wananimalizia vifaranga.
 
Tumia ratox kutoka msumbiji weka pact 3 kwa kila chakula kidogo unachotega, akila hataweza kufika hata mita 15 atafia hapo hapo.

Mimi nawaua sana kwasababu wananimalizia vifaranga.

K
Naipata wapi hyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom