Nyaubikra
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 1,085
- 2,660
Habarini na mihangaiko wakuu
Mimi Kama member wa humu sio mjuzi Sana na mzoefu wa kutumia JF app lakini katika kupitapita siku moja sijui ni category ipi nikakuta wanazungumzia kuhusu kuhusu sumu ya kuwauwa Hawa wanyama aina ya paka 🐈 Mana kwa sumu za panya imeshindkana kabisa
Naomben msaada ni sumu gani unaweza kuwauwa Mana katika ule Uzi niliona wametaja na jina Ila sikumbuki na sijui ku-search
Location ninayoishi ni Mbeya kama mtu atanielekeza duka nikaipata ntashukuru sana🙏🙏
Mimi Kama member wa humu sio mjuzi Sana na mzoefu wa kutumia JF app lakini katika kupitapita siku moja sijui ni category ipi nikakuta wanazungumzia kuhusu kuhusu sumu ya kuwauwa Hawa wanyama aina ya paka 🐈 Mana kwa sumu za panya imeshindkana kabisa
Naomben msaada ni sumu gani unaweza kuwauwa Mana katika ule Uzi niliona wametaja na jina Ila sikumbuki na sijui ku-search
Location ninayoishi ni Mbeya kama mtu atanielekeza duka nikaipata ntashukuru sana🙏🙏