Habari wana jamii forum nimeamua kujichangachanga nikanunua simu samsung galax s6 edge mpyaaaa kweli kako vizuri ila hii simu nikiwasha data inaapata moto mnooo afu haitunzi charge, nikicharge naweza itumia saa moja tu nacharge tena ila nisipowasha data inakaa hata masaa 4 na kuendelea ila nikiwasha data niangalie kitu youtube au insta au hapa jf saa imepuputika yote hadi ziro. Nisimu ilivyo au nimbovu au mimi makosea wapi nisaodieni kwa anae jua