Nzuri sana.Fixed Account NMB wana 15% per annum
Nzuri sana.Fixed Account NMB wana 15% per annum
Hawa jamaa nililiwawazia sema sijampata muda wa ukiisoma business model yao so nime-refrain from buying. Ila kama wasemayo ni kweli basi hii ni nuksi!JATU idea yao ni nzuri na bidhaa zao hata miaka 100 zina soko, issue ni business model walioiichagua.
Sioni kama ni sustainable maana ni ponzi scheme
Kima cha chini cha kununua treasury bonds ni kiasi gani?Kwwa mawazo yangu ni heri ununue treasury bonds kuliko kusubiri dividends. Treasury bonds ni risk free wakati kupata dividends sio kitu cha uhakika. Chukua mfano wa TCC, share price ni shs 17,000 na dividends kwa share mwaka 2019 ni shs 300. Assume hii itaendelea mpaka 2020, ni sawa na return ya 1.76% kwa mwaka. ambayo ni ndogo mno. Ukiangalia hapa, utaona kuwa Treasury bonds ya miaka miwili unapata 7.82% kwa mwaka. Naamini kuna benki ambazo wanatoa interest kubwa kwenye fixed deposit kuliko ya Treasury bonds. TPB walikuwa wanatoa 12% per annum, sijui kama wanaendelea. Fanya utafiti.
Tsh 1m in multiple of 100,000.Kima cha chini cha kununua treasury bonds ni kiasi gani?
Asante.Tsh 1m in multiple of 100,000.
Mi nataka kununua share kwa style yangu ya kipekee ambao sitakuwa nategemea dividend. Hebu typos link ya hiyo web tukajionee.NMB iko vizuri sana, mana government inaitumia kwa transactions zake, so projections zake ziko vizuri, ila nahc wengi wamenunua shares (good projections=high demand of shares, ndo mana bei yake ni kubwa), na kama nyng zimeuzwa, dividend value per share inakuwa ndogo.
Kwa CRDB, projections zake nimeona kwa web flan bei kufika 220Tsh, zinaweza kuwa nice buy, lakini benk haina back up nzuri sana.
Ikumbukwe, dividends value ni amount ya profit gawanya kwa idadi ya shares...
Nimejaribu kupatafuta sijapata... Nikikutana napo tena nitaweka link hapaMi nataka kununua share kwa style yangu ya kipekee ambao sitakuwa nategemea dividend. Hebu typos link ya hiyo web tukajionee.
Tafuta quarterly/annual reports kwenye site yaoNa vipi kuhusu liquidity ya makampuni ya DSE
Naona jamaa walikuwa sahihi na projection ya CRDB, at that time price ilikuwa 185, now iko 215, bado Tsh 5 tu, projection yao iwe 100% true.Mi nataka kununua share kwa style yangu ya kipekee ambao sitakuwa nategemea dividend. Hebu typos link ya hiyo web tukajionee.
Better buy now... CRDB imenunua bank Burundi, kwa expansion hyo, value ya share will surely keep rising..Naona jamaa walikuwa sahihi na projection ya CRDB, at that time price ilikuwa 185, now iko 215, bado Tsh 5 tu, projection yao iwe 100% true.View attachment 1676576
Won't that make CRDB lose more value?Better buy now... CRDB imenunua bank Burundi, kwa expansion hyo, value ya share will surely keep rising..View attachment 1819074
Hapana, kuexpand na kufungua matawi, means capital imeongezeka, na hyo inamaanisha pia productivity imeongezeka, na consequently profit inaongezeka. Share value itapanda kama profit ya kampuni inaongezeka, mana investors tunatazama profit ya kampuni tunayoinvestWon't that make CRDB lose more value?
Nifanyie mpango wa list ya companies wanatoa divident ya walau 10% ya share priceKwa investor sikushauri kuweka hela yako NMB, kwanza Capital gain ni kama haipo.. price imeganda sehem moja mwaka mzima. Devident wanatoa lest than 6% ya share price.. ukitaka kuuza share za NMB utasubir mwezi mzima.. Kwa CRDB n tofauti Bei zinachanga sana sana yani.. mtakua mashahidi ni Juzi January tu bei zilikua 215 na wiki jana imefika 300. devident wanatoa 10% kupanda juu.. pia ukitaka kuuza ni muda wa masaa tu zishauzika. kwa broker binafsi namtumia Solomoni Brokers wako active zaidi whatsapp na insta, japo nimeona kuna wanaoitwa Orbit wanasemwa vizuri pia.
zungumza na broker atakupa taarifa zote unazotaka kujua.Nifanyie mpango wa list ya companies wanatoa divident ya walau 10% ya share price
Okayzungumza na broker atakupa taarifa zote unazotaka kujua.