Emmado
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 209
- 214
Wakuu polen na majukumu!!
Naomba ushauri wenu ... nichukue gari gani kati ya gari tajwa hapo juu... {subaru forester, Bmw 3 series au x3...
ushauri huo naomba ulenge kwenye
>>> ulaji wa mafuta
>>>gharama za vipuri
>>>uimara wa gari
>>>upatikanaji wa mafundi wa kuaminika
NB: MATUMIZI YA GARI YATAKUA NI OFF-ROAD KIDOGO
ASANTENI SANA!!
Naomba ushauri wenu ... nichukue gari gani kati ya gari tajwa hapo juu... {subaru forester, Bmw 3 series au x3...
ushauri huo naomba ulenge kwenye
>>> ulaji wa mafuta
>>>gharama za vipuri
>>>uimara wa gari
>>>upatikanaji wa mafundi wa kuaminika
NB: MATUMIZI YA GARI YATAKUA NI OFF-ROAD KIDOGO
ASANTENI SANA!!