Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,002
- 173,643
Habar wadau,
Imekuwa bahati mbaya kwangu weekend iliopita nimevunja screen ya simu yangu halafu spea imekuwa mtihani kupata. Kama tunavyojua raha ya smartphone iko kwenye mengi hasa mitandao ya kijamii kama whatsapp n.k. ni siku chache toka simu ipasuke ila najihisi kama yatima aisee. Ninatafuta software ya kuweza ku run android apps haswa whatsapp, mwanzoni nilikuwaga natumia bluestacks app player enzi za windows 7 ikawaga freshi ila nimeijaribu install kwenye windows 10 inagoma ku start kabisa! Anaejua software mbadala wa blue stacks anipe shavu kama vipi!
Imekuwa bahati mbaya kwangu weekend iliopita nimevunja screen ya simu yangu halafu spea imekuwa mtihani kupata. Kama tunavyojua raha ya smartphone iko kwenye mengi hasa mitandao ya kijamii kama whatsapp n.k. ni siku chache toka simu ipasuke ila najihisi kama yatima aisee. Ninatafuta software ya kuweza ku run android apps haswa whatsapp, mwanzoni nilikuwaga natumia bluestacks app player enzi za windows 7 ikawaga freshi ila nimeijaribu install kwenye windows 10 inagoma ku start kabisa! Anaejua software mbadala wa blue stacks anipe shavu kama vipi!