grandMullah23m
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 235
- 311
Heshima zenu wakuu... Naombeni msaada kwa mwenye uelewa wa shule za advance zenye mchepuo wa CBG kwa hapa dar na mikoa ya karibu... Natanguliza Shukrani
Kuna shule iko Kongowe (kama unaelekea Mlandizi/Kibaha) inaitwa Waamuzi iko very cheap ni shule ya Wakatoriki kama sikosei ada yao ni around milion moja na chenji kidogo sana.Heshima zenu wakuu... Naombeni msaada kwa mwenye uelewa wa shule za advance zenye mchepuo wa CBG kwa hapa dar na mikoa ya karibu... Natanguliza Shukrani
Mlete Kaizirege au KEMIBOS huku Bukoba.Heshima zenu wakuu... Naombeni msaada kwa mwenye uelewa wa shule za advance zenye mchepuo wa CBG kwa hapa dar na mikoa ya karibu... Natanguliza Shukrani
Ada zake shngapMlete Kaizirege au KEMIBOS huku Bukoba.