Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,208
- 1,170
Habari Wakuu,
Kwa wataalam wa sheria naomba msaada wenu juu ya hii sheria inayohusiana na service levy.
Je ni nani ambaye anaingia katika kundi la kulipia hii service levy katika halmashauri husika?
Yaani mtu au Taasisi zinazo jishughurisha na nini hasa zinaingia katika kundi la kulipia aina hii ha ushuru?
Kwa wataalam wa sheria naomba msaada wenu juu ya hii sheria inayohusiana na service levy.
Je ni nani ambaye anaingia katika kundi la kulipia hii service levy katika halmashauri husika?
Yaani mtu au Taasisi zinazo jishughurisha na nini hasa zinaingia katika kundi la kulipia aina hii ha ushuru?