Msaada wa Read Only

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Sep 16, 2009
15,042
16,037
Nawezaje kuondoa hii read only kwenye flashdisk?

20190711_155348.jpg
 
Tumia the command prompt alaf clean disk alaf create a primary partition uwa ina fix most problems on storage
 
Flash disk ni ya aina ipi? Unaweza ipiga picha uweke hapa?

Hata hivyo, fanya hivi:

  1. Run diskpart kwa kubonyeza WindowsKey+R
    1562871305346.png

  2. Type list disk
  3. select disk n (hapa, badilisha n na namba ya flash disk yako iliyo kwenye safu ya Disk ###
  4. attributes disk
Ukifika hapo, niambie inavyosema tuone kama waweza saidika.
 
Flash disk ni ya aina ipi? Unaweza ipiga picha uweke hapa?

Hata hivyo, fanya hivi:

  1. Run diskpart kwa kubonyeza WindowsKey+R
    View attachment 1151530
  2. Type list disk
  3. select disk n (hapa, badilisha n na namba ya flash disk yako iliyo kwenye safu ya Disk ###
  4. attributes disk
Ukifika hapo, niambie inavyosema tuone kama waweza saidika.

DISKPART> select disk i

The disk you specified is not valid.

There is no disk selected.



lkn kwenye my computer inaoneka ni drive "I"
 
DISKPART> select disk i

The disk you specified is not valid.

There is no disk selected.



lkn kwenye my computer inaoneka ni drive "I"
Kwenye Diskpart command tumia namba sio herufi.

Hapo SELECT Disk 1 sio i.

Kwanza LIST Disk, kisha angalia size ya hizo listed disks ukiona MB zinalingana na flash disk yako basi note hiyo namba ya disk uitumie kwenye SELECT Disk command.
 
kama ni flash disk nyingine zinakuwaga na button ya kufunga na kufungua readonly,....
hebu iangalia kama ina button yoyote ile........
 
Kwenye Diskpart command tumia namba sio herufi.

Hapo SELECT Disk 1 sio i.

Kwanza LIST Disk, kisha angalia size ya hizo listed disks ukiona MB zinalingana na flash disk yako basi note hiyo namba ya disk uitumie kwenye SELECT Disk command.
Fanya vile huyu amesema.
 
Flash/ SD card nyingi za kibongo bongo ni fekelo kama zikisoma write protected ndo basi tena ni za kutupa tu.
 
hapo hapo... kwa ufupi ni defect aidha tangu ilipotoka kiwandani imetoka ikiwa na tatizo au ndio flash disk feki. wala command hazitosaidia. flash ikishakuwa write protected ikashindakana kuformat kwenye pc zaidi ya moja basi ni ya kutupa.
Flash/ SD card nyingi za kibongo bongo ni fekelo kama zikisoma write protected ndo basi tena ni za kutupa tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom