Si amesema inamgomea?C uingie kwenye web yao mkuu.
<br />Unataka ya kaz gani. Sidhani kama kwenye web ipo. Si kila kitu kipo kwenye web, vingne vnatumika ndan ya chuo, hakuna haja ya ku expose. So jarbu kuwasiliana wanafunzi wa Ardh. Pia sidhan kama utampata mtu ai scan akuwekee hapa. Ila jarbu.
<br /><br /><br />
<br /><br />
nilishawahi kuiona kwenye web yao, but i wasnt keen by then,.and now that i want it, haifunguki,.