Habari za usiku wapendwa!Poleni kwa mihangaiko ya kutwa nzima.Wadau mimi nipo Mwanza nina shida na mafuta ya peppermint oil,naomba kama kuna mtu anajuwa wapi yanauzwa anielekeze.Natanguliza shukran zangu na natumaini mtanisaidia ndugu zangu
Kuna mdada insta anajiita mamkenzo naturals yuko mwanza huyu.. mcheki atakua nazo au kama una ndugu dar basi akakuchikulie pale kariakoo maduka ya dawa za kisunna kwa abdu swamad
Kuna mdada insta anajiita mamkenzo naturals yuko mwanza huyu.. mcheki atakua nazo au kama una ndugu dar basi akakuchikulie pale kariakoo maduka ya dawa za kisunna kwa abdu swamad
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.