Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,252
- 34,201
Bqdo utoto unakusumbua akili.Ujinga kivipi?
Mimi ni form four leaver nitajiunga dit mwezi wa kumi.Nilikiwa nataka kupiga msuli mapema na sina connection ya mtu wa DIT.
Bqdo utoto unakusumbua akili.Ujinga kivipi?
Mimi ni form four leaver nitajiunga dit mwezi wa kumi.Nilikiwa nataka kupiga msuli mapema na sina connection ya mtu wa DIT.
Acha kupoteza muda wewe. Chuo sio sekondari. Ngoja chuo kifunguliwe utazikuta notes huko huko.Bado sijajiunga DIT.Ninaingia mwezi wa kumi mwaka huu nilikuwa ninahitaji kuanza kusoma mapema ninapopata muda binafsi na siwezi kwenda tuition kwa sababu kuna kibarua ninafanya.
Hahah tumpe muda dogo, atajiona boya sana, na atatamani kuifuta hii threadAcha kupoteza muda wewe. Chuo sio sekondari. Ngoja chuo kifunguliwe utazikuta notes huko huko.
NB: Hii post yako ukija kuisoma ukiwa mwaka wa pili utajicheka sana na kujiona jinsi ulivyo mpumbavu.
Ndiyo mkuuUmechaguliwa DIT?
🤌🏽🤏🏽 Unaweza kuwa mkubwa ila kubwa jinga.Acheni kujifanya wajuaji kisa mmetuzidi umri .Aimaanishi sisi hatuna vitu tunavyovijua au kuvipanga kimkakati.Bqdo utoto unakusumbua akili.
Wewe ndiyo mpumbavu ukijifanya kuwa njia yangu si sahihi pasipo kujua malengo yangu.Acha kupoteza muda wewe. Chuo sio sekondari. Ngoja chuo kifunguliwe utazikuta notes huko huko.
NB: Hii post yako ukija kuisoma ukiwa mwaka wa pili utajicheka sana na kujiona jinsi ulivyo mpumbavu.
Comment ya kijinga kabisa alafu ndiyo nisikilize ushauri kwa watu wazima wa namna hii.Acha kwanza ncheke
Sawa yote kheri.Mdogo angu, mimi ni staff hapo, nilitamani kukusaidia ila kwa haya majibizano yako na wadau naona niache tu.
Kama wewe ni form four leaver nakushauli tafuta tranter na nelkon kwanza then soma Sana hesabu na zile topics za umeme kwenye nelkon engineering ni mtoto was physics na hesabuNdiyo nilikuwa nahitaji kujua hiyo syllabus.
Sawa, shukrani.Kama wewe ni form four leaver nakushauli tafuta tranter na nelkon kwanza then soma Sana hesabu na zile topics za umeme kwenye nelkon engineering ni mtoto was physics na hesabu