2in1
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 211
- 79
Wakuu habar zenu, nina vifaranga vyangu vya kuchi vimetotolewa jana,kuna mtu alinipa dawa za kuwapa ila nimeshindwa kujua namna gani ya kuwachanganyia. Amenipa Neoxychick kanambia niwachanganyie kweny maji kwa muda wa siku tano na Glucose niwape kwa siku mbili. Nikiangalia kwenye kipakti cha neoxychick wanasema uchanganye gram moja kwenye lita mbili za maji sasa shida yangu kubwa nimeshindwa kupima gram moja ili niichanganye humo na pia sijajua hiyo glucose naichanganya pamoja na neoxyhick au vipi