Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzio upara umeanza tukiwa na miaka 15, sembuse wewe wa miaka 20+, upara ni kipimo cha mwanaume rijali mara nyingi kinasababishwa na kuzidi kwa hormone ya testosterone, ndio maana kipara mara nyingi ni kwa wanaume, ukitaka nywele ziote ondoa pumbu zako ubakize sehemu ya kukojolea tu🙏🙏Mkuu tatizo umeanza mapema sana, Yani umri huu kuwa na upara ni noma sana.
Kwanini nisiiweze, inanini kwani ??
Labda afanye plastic surgery..
Shukrani sana mkuu, nitazingatia hayoPole sana,
Sio lazima iwe kitu cha kurithi,
Kusoma sana kunachangia mtu kuwai kupata kipara
Kuwaza kupitiliza
Kutokupata mda wa kupumzika
Ila jitahidi kula vyakula vifuatavyo vinasaidia ukuaji wa nywele
.Mayai ya kuchemsha ya kienyeji
.Viazi vitamu
.Samaki
.Maparachichi
.Karanga, korosho
.Maharage
Yani mda mwengine ni upungufu wa vitamin A,C,D,E na madini chuma
Wewe ulikuwa unapoga nyeto, mbona kuna wengine wanapiga nyeto had basi lkn hawanaMimi piaa kilinipa stress mpk bs yn...nakumbuka ilikuwa chuo...ikabid nianze kunyoa mapara tu....saiv watu wanansfia napendeza sana style yang ya kunyoa....wanadhan labda napenda kunyoa para kumbe nna kipara....ila mm nna ndevu sasa sijui kwa upande wako
NB: Acha nyeto...inachangia pia
Ndevu mimi bado hazijaanza kuota mkuu ..Mimi piaa kilinipa stress mpk bs yn...nakumbuka ilikuwa chuo...ikabid nianze kunyoa mapara tu....saiv watu wanansfia napendeza sana style yang ya kunyoa....wanadhan labda napenda kunyoa para kumbe nna kipara....ila mm nna ndevu sasa sijui kwa upande wako
NB: Acha nyeto...inachangia pia
Mkuu jikubali tu uanze kunyoa upaa " mi pia nilianza kuota upaa nikiwa 22 years nikawa naona noma kuachia kichwa, nikawa mzee wa kapelo , nmevaa kofia mda mrefu ndio nikawa nmeuzidisha mara 2 yake ,, lait ningejua ningeuachia tu watu wakazoea, lakin ndo ishakuwa ivo tena siwezi kutoka bila kofia... View attachment 2069483
Tumia mafuta ya mnyonyoo.Kipara kinaota nywelee kikubwa ni uvumilivu lakini mabadiliko utayaona kadiri utakavyo zidi kupakaa.Mcheck mshikaji anae uza mafuta yuko Kilimanjaro.Ndevu mimi bado hazijaanza kuota mkuu ..
Wewe ulikuwa unapoga nyeto, mbona kuna wengine wanapiga nyeto had basi lkn hawana
Umeacha kupiga nyeto,Sio kila anaevuta sigara atapata kansaa.....Ndio mm nilikuwa napiga nyeto
Kwa vijana wenye hatari ya nywele kupotea upara/uwalaza ulaji wa mbegu za maboga unaweza kusaidia.Bro wangu mkubwa yupo early 30s na yeye hana kiwalaza, sasa najiuliza nimekipata wapi na ndio kwanza nimetimiza miaka 20 juzi hapo ??.
Yani upande wa mbele wa kichwa changu nywele zimeacha kuota pembeni mwa komwe ( receding hairline) na pia nyuma kidogo ya kichwa nywele zimeacha pia kuota.