Msaada wa namna ya kufuta michoro mwilini bila kusababisha madhara (Tattoo)

Hume

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
340
108
Kuna binti mmoja ambaye alitokea kujenga mazoea na ukaribu nami.

Akawa huru kunieleza mambo mengi yanayomsibu katika mahusiano ya kimapenzi.

Yeye alipokuwa mdogo alitokea rafiki mmoja wa kaka yake ambaye alikuwa baharia, akamchora Tatoo kubwa tu kwenye mikono yote miwili.

Alipokuwa ndo akajua nini maana ya kuwa na hizo tatoo, kila akijenga mahusiano na vijana ambao wanaonyesha uelekeo wa kumuoa, mara wanapoziona hizo( huwa anazificha kwa kuvaa mashati yenye mikono mirefu)

huwa wanamuona kama aliyewahi kujihusisha na umalaya na hivyo humuacha. Mdogo wake ambaye alichorwa pia, aliamua kujichoma na pasi mkononi ili kufuta hizo tatoo.

Hili limekuwa ni tatizo kubwa katika maisha ya binti huyu,

kwa mwenye ushauri wa namna ya kuondoa hizi alama naombeni tumsaidie huyu kiumbe anayeumizwa.

samahani kwa kutoa maelezo marefu!!
 
Huyo Binti yuko wapi? TZ au Nje ya TZ? Kama yuko nje ya Tanzania huduma hii inapatikana kwa urahisi. Kwa Tanzania, ajaribu kuwasiliana na wataalamu wa magonnjwa ya ngozi (dermatologists).
Soma hapa chini kwa maelezo zaidi:

While tattoos are considered permanent, it is possible, to varying degrees, to remove them. Complete removal, however, is often not possible, and the expense and pain of removing them typically will be greater than the expense and pain of applying them. Some jurisdictions will pay for the voluntary removal of gang tattoos.

Tattoo removal is most commonly performed using lasers that react with the ink in the tattoo, and break it down. The broken-down ink is then absorbed by the body, mimicking the natural fading that time or sun exposure would create. This technique often requires many repeated visits to remove even a small tattoo, and may result in permanent scarring. The newer Q-switched lasers are said by the National Institute of Health to result in scarring only rarely, however, and are usually used only after a topical anaesthetic has been applied. The NIH recognizes five types of tattoo; amateur, professional, cosmetic, medical, and traumatic (or natural). Amateur tattoos are easier and quicker to remove, usually, than professional tattoos. Areas with thin skin will be more likely to scar than thicker-skinned areas. There are several types of Q-switched lasers, and each is effective at removing a different range of the color spectrum.

Some wearers opt to cover an unwanted tattoo with a new tattoo. This is commonly known as a cover-up. An artfully done cover-up may render the old tattoo completely invisible, though this will depend largely on the size, style, colours and techniques used on the old tattoo. Some shops and artists use laser removal machines to break down and lighten undesired tattoos to make coverage with a new tattoo easier. Since tattoo ink is translucent, covering up a previous tattoo necessitates darker tones in the new tattoo to effectively hide the older, unwanted piece.
 
Hebu mshauri acheki pale Movenpick Hotel,Kulikuwa na Beauty shop ambayo ilikuwa ina-deal na laser therapies.
 
Thanks, Dotori. Nitamshauri akacheki kama anaweza kusaidiwa!
 
Agant. Naomba sana kwa anayefahamu dawa au namna yeyote ninayoweza tumia kufuta tatoo kwenye mwili aniwekee hapa. Naomba sana.
 
ahahahaahaahaha...pole sana kijana..sitaki kuuliza kwanini unafuta hiyo tatoo yako ila naona ujana/utoto umekutoka sasa unataka kufuta makovu ya maamuzi yako mabovu uliyoyafanya utotoni...ucjali sana hakuna dawa kwa maana ya dawa isipokuwa operation ndogo...jaribu ku-google maana nilisoma habari kuwa mchezaji m1 wa arsenal the gunners anatarajiwa kufanyiwa operation ya kufuta tatoo mwilini....
 
njia pekee ya kuondoa hio tatoo ni kwa laser therapi ...actually several sessions with laser therapi which is painful and expensive!
 
Habari wanaJF...

Nina tattoo niliyojichora mkononi, nilijuta kuichora week moja baada ya kuchora, sasa nataka kuifuta, nimesikia kuna jinsi ya kuzifuta na ngozi inarudi kama kawaida bila kutumia pasi, lakini sijui pa kuanzia wala sijui ni wapi. Yaani sijui chochote na kama kuna side effects zozote.

Kwa anaejua naomba anisaidie please..au kama kuna njia yoyote mbadala kwa yoyote ambae nae amesha experience hili.

Natanguliza shukrani zangu.
 
Yai la bata au kanga changanya na lokaria ile yakimsai. Alafu pk eneo lenye tatoo asubuhi na jioni mpaka utakapoona imeisha then waaacha,inaweza kuchukuwa kama mwezi hv ila ngozi nabaki kawaida

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Yai la bata au kanga changanya na lokaria ile yakimsai. Alafu pk eneo lenye tatoo asubuhi na jioni mpaka utakapoona imeisha then waaacha,inaweza kuchukuwa kama mwezi hv ila ngozi nabaki kawaida

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

asante sana,ila sijaelewa iyo lokaria ndo nini..na umeshawai fanya ivo na ikafutika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom