nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari Wakuu.
Mimi ni Graduate wa Diploma ya uuguzi na ukunga (Nursing and Midwifery). Kiuhalisia nilikuwa ninaomba kama ninaweza kupata hospitali ya kujitolea au shirika lolote lile la Afya, nipo tayari kwa Sasa.
Mimi ni Graduate wa Diploma ya uuguzi na ukunga (Nursing and Midwifery). Kiuhalisia nilikuwa ninaomba kama ninaweza kupata hospitali ya kujitolea au shirika lolote lile la Afya, nipo tayari kwa Sasa.