Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwamba unaupendo hivyo kwa rafiki yako ha ha ha ha jombaaa ukisema wewe mwenyewe utakuwa umepungukliwa na nini??? sometimes mnajikosesha bahati sababu ya kujificha vivuri ambavyo si vyenu mana mwingine hatokupa hizo ABC sababu sio we muhusika atataka rafiki akoi aseme kumbe wewe ndo muhusika...acheni kuwa kama minduku....salaam wakuu.
Kuna jamaa yangu anatakiwa aende kweny interview pale TIC. Mwwnye ABCs za interview ya pale anijuze wakuu
Mshikaji wangu wa karibu mkuu. Kama ni mimi ningesema tu. Kama ABCs zipo naombeni nimsaidie huyu mshukajikwamba unaupendo hivyo kwa rafiki yako ha ha ha ha jombaaa ukisema wewe mwenyewe utakuwa umepungukliwa na nini??? sometimes mnajikosesha bahati sababu ya kujificha vivuri ambavyo si vyenu mana mwingine hatokupa hizo ABC sababu sio we muhusika atataka rafiki akoi aseme kumbe wewe ndo muhusika...acheni kuwa kama minduku....
ingekuwa wewe ningekusaidia nilishawahi kufanya nao usahili chini UDBS mwaka jana.Salaam Wakuu,
Kuna jamaa yangu anatakiwa aende kwenye Interview pale TIC. Naomba mwenye ABCs za interview za pale anijuze tafadhali
Vip ulipataingekuwa wewe ningekusaidia nilishawahi kufanya nao usahili chini UDBS mwaka jana.
mwambie huyo jamaa yako apambane na hali yake tu
Msaidie mkuu. Au nikupe namba yake muwasiliane?ingekuwa wewe ningekusaidia nilishawahi kufanya nao usahili chini UDBS mwaka jana.
mwambie huyo jamaa yako apambane na hali yake tu
Mkuu jamaa ameitwa post ya investment promotion advisor. Jamaa anataka ABCs ili alifika pale asianze kushangaaHivi ukisema ni wewe utapungukiwa nini? Sema umeitwa kwa post gani tukusaidie