Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,312
- 10,492
Nyoa nywele zote yaani fresh ya unga, au para! Au dongo, au lami. Then nenda Pharmacy nunua dawa inaitwa Sonaderm. Paka 1x2 kila baada ya kuoga asbh na jioni. Hakikisha unakausha kichwa vzr na usipake mafuta kichwa kabla au baada ya kupaka dawa.