msaada wa mawazo

joel amani

Senior Member
Nov 22, 2011
100
8
habari ndugu zangu jf,naomba mchango wenu wa mawazo mie nina laki saba tu ingawa ni pesa ndogo sana,ila nataka nizungushe inizalishie kidogo kidogo na nilifikili nijumue nguo kidogo hasa hizi jezi za chelsea na man u then nikauze huko bush sana sumbawanga vijijini kwenye minada mana mimi niko mbeya mtaji wangu ndo huo tu,nitakuwa sahihi nikifanya hiyo au nifanyeje?
 
Mkuu ... upo sahihi na makini kabisa

Jitahidi ufanye market survey huko kwenye minada ujue bei yua kuuzia ikoje halafu ulinganishe na bei ya kununua hizo Jezi kwa bei ya jumla ... weka na gharama nyingine then check if there is a profit margin .... jitahidi faida iweke kwenye range ya 16-25% ya gharama na manunuzi .. ila ningekushauri bei yako iweke Chini kidogo kuliko wauzaji wengine ... pia jitahidi upate source ya hizo jezi kariakoo kwa muuzaji wa wholesale anaeleta mzigo kutoka China ... yuo will avoid middlemen and hence increase profit

I wish you all the best
 
kaka nashukuru sana kwa mawazo yako mazuri,ni kweli nimefikiri sana kuhusu kufika kariakoo mana kesho nimepata dharura ya kwenda dar na nikafikiri nipitie kariakoo nijumue mzigo then nirudi nao mbeya na kupeleka huko sumbawanga ila tatizo sijafanya market survey ya kule ingawa nimefanyia mbeya licha ya kwamba kule ni mbali zaidi kutoka dar na bei nafikiri itakuwa juu zaidi ya mbeya,hapo unaniambiaje mkuu,
 
Mkuu

Options nyingine ni wewe kununua huo mzigo halafu anaenda kuwauzia wauzaji wadogo wadogo katika minada kwa bei ya jumla... bei hiyo iwe ya Chini ukilinganisha na bei wanayonunulia ... let say kama wananunulia sumbawanga mjini basi wewe unapeleka mzigo wako huko huko bush na kuwauzia kwa bei nafuu

Kikubwa muhimu ni kujua bei husika katika sehemu husika ya soko lako
 
Back
Top Bottom