Msaada wa mawazo

Brother P

Member
Mar 23, 2011
10
1
Habari wana jf.ninaomba mnisaidie mawzao.nina shilingi milioni moja,je nifanye biashara gani kwa mtaji huu mdogo nilionao.mimi ni mkazi wa morogoro mjini maeneo ya mazimbu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom