jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
Naishi kwenye nchi ya watu hapa katika kutafuta zangu nikaamua niongeze kipato kwa kufanya biashara na nyumbani (TZ) nikaamua kumshirikisha jamaa yangu amabaye ni mtu mzima na ninamweshimu sana kama mzee wangu kwamba nifanye naye biashara ukweli kila kitu kilikuwa changu hadi mtaji wote..nilichokuwa nahitaji kwake nikuweza kunisaidia kuniuzia mizigo yangu ninayotuma na kisha pesa yangu kunitumia na kuchukua malipo kiasi amabyo nilikuwa namlipa kulingana pesa inayopatikana,ukweli sikupenda kuwashirikisha ndugu zangu kwenye hii biashara yangu kwa sababu pesa ingekuwa na uwezo wa kuvunja undugu wetu ila niliwambia niko nafanya biashara na huyu mtu wakafiki..
Shida sasa inayojotokeza huyu jamaa yangu namwambia anitumie pesa aliyoniuzia mizingo yangu ananipiga maneno tu, mara nilikuwa busy mara wateja wamenilipa kwa installment..namwambia hata kile kilichopo nitumie bado ananipiga uswahili..nimeongea naye leo kwenye cim jibu alilonipa sikutegemea kulikisikia ..kweli mie ni mwanaume lakini nikakuta machozi yananitoka..kwani mtaji wenyewe nimeupata kwa shida,naishi maisha ya shida ilinifanye serving zaidi ya yote pesa yenyewe ninyingi sana....sina uhakika kwa kuzipata tena kwa miaka ya karibuni..
Jamani mtu wa namna hii nimfanyeje?ukweli nikija Tz hata kesho huyu jamaa nitamua au nife mimi..nyumbani hawana ubavu wa kumwambia chochote jamaa kwa kuogopa kuvunja ukaribu na bado wananiambia nisimshitaki ni vumilie lakini mie nimechoka
Hapa nilipo nimekuwa kama na stress tupu nimekuta nimekanyaga na cim yangu gharama bila hata kujua..
Shida sasa inayojotokeza huyu jamaa yangu namwambia anitumie pesa aliyoniuzia mizingo yangu ananipiga maneno tu, mara nilikuwa busy mara wateja wamenilipa kwa installment..namwambia hata kile kilichopo nitumie bado ananipiga uswahili..nimeongea naye leo kwenye cim jibu alilonipa sikutegemea kulikisikia ..kweli mie ni mwanaume lakini nikakuta machozi yananitoka..kwani mtaji wenyewe nimeupata kwa shida,naishi maisha ya shida ilinifanye serving zaidi ya yote pesa yenyewe ninyingi sana....sina uhakika kwa kuzipata tena kwa miaka ya karibuni..
Jamani mtu wa namna hii nimfanyeje?ukweli nikija Tz hata kesho huyu jamaa nitamua au nife mimi..nyumbani hawana ubavu wa kumwambia chochote jamaa kwa kuogopa kuvunja ukaribu na bado wananiambia nisimshitaki ni vumilie lakini mie nimechoka
Hapa nilipo nimekuwa kama na stress tupu nimekuta nimekanyaga na cim yangu gharama bila hata kujua..