msaada wa mawazo wana-JF

mchakachuaji192

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
366
68
wadau poleni na mihangaiko inayotuweka mjini, naomba mwenye ujuzi au uelewa wa malighafi inayotumika katika utengenezaji wa vioo anijulishe jamani, na je hapa kwetu Tanzania kuna kiwanda kinachohusika na utengenezaji wa vioo au ndio hadi tuagize ughaibuni? Je kama malighafi zinapatikana kwa urahisi ni kikianzishwa hapa Tanzania kinaweza kulipa? Ninasema hivi utengenezaji wa vioo kutokana na kuwa ni miongoni mwa bidhaa muhimu zinazotumika miongoni mwa shughuli za ujenzi wa hasa wa siku hizi na kwa baadae nahisi itakuwa inalipa sana, naomba ushauri wako VS mchango wa mawazo kwa katika hili jambo,
 
wadau poleni na mihangaiko inayotuweka mjini, naomba mwenye ujuzi au uelewa wa malighafi inayotumika katika utengenezaji wa vioo anijulishe jamani, na je hapa kwetu Tanzania kuna kiwanda kinachohusika na utengenezaji wa vioo au ndio hadi tuagize ughaibuni? Je kama malighafi zinapatikana kwa urahisi ni kikianzishwa hapa Tanzania kinaweza kulipa? Ninasema hivi utengenezaji wa vioo kutokana na kuwa ni miongoni mwa bidhaa muhimu zinazotumika miongoni mwa shughuli za ujenzi wa hasa wa siku hizi na kwa baadae nahisi itakuwa inalipa sana, naomba ushauri wako VS mchango wa mawazo kwa katika hili jambo,

Tafuta mfanyakazi wa Kioo Ltd pale Nyerere Road nyuma ya Alaf, atakupa detail zote za malighafi, soko la vioo wanavyozalisha,malighafi nk.
 
Back
Top Bottom