Msaada wa mawazo unahitajika hapa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,266
1634129126786.png
 
Inawezekana vipi hilo, kwanza mke unapataje ujasir wa kuniambia upumbavu wa namna hiyo🤣🤣🤣 yani hapo nitakachokifanya nitasema ewaaaah bora umekuja mkuu siku nyingi nilikua nikiongea na wife hapa kuhusu kumchukua dogo. Halafu mtoto na yeye alikuwa msumbufu sana anataka kwenda kwa baba, mke wangu hebu muandae mtoto vizur aondoke na baba yake muda huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom