DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,907
- 2,092
Salam.
Kwa wale wanao ishi Kyela kwa sasa, naomba kujua mahesabu madogo kuhusu ujenzi wa nyumba wilayani hapo kwa mtu mwenye kiwanja tayari.
1. Nyumba ya vyumba 5 yenye vyoo ndani kwa ndani inatumia tofali ngapi za kuchoma?
2. Tofali moja inauzwa kiasi gani kwa sasa pande hizo? (Tofari za kuchoma)
3. Makadirio ya mafundi yakoje pande hizo.
Finishing materials nitazitoa huku Dar.
Asanteni.
Kwa wale wanao ishi Kyela kwa sasa, naomba kujua mahesabu madogo kuhusu ujenzi wa nyumba wilayani hapo kwa mtu mwenye kiwanja tayari.
1. Nyumba ya vyumba 5 yenye vyoo ndani kwa ndani inatumia tofali ngapi za kuchoma?
2. Tofali moja inauzwa kiasi gani kwa sasa pande hizo? (Tofari za kuchoma)
3. Makadirio ya mafundi yakoje pande hizo.
Finishing materials nitazitoa huku Dar.
Asanteni.