Msaada wa mawazo: Nataka kujenga nyumba za kupangisha

ommytk

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
482
1,053
Naomba msaada wakitaalam kuhusu ujenzi wa nyumba za kupangisha Nina maeneo mawili, moja Makongo sqm3000 na Kigamboni sqm1700, nataka kujenga nyumba za kupangisha.

Je, nafata taratibu gani bank wanipe mkopo au wajenge wao?


Income yangu kwa mwezi haizidi laki 5
 
Unaonaje uniuzie hicho cha kigamboni? Kama kipo location nzuri.. ipo Milioni 6 cash hapa.

Option hapo ni uuze kimoja halafu hiyo pesa ujumlisho na kamkopo kadogo uwe na kama 15 Million ndo uweze kujenga hivo vyumba vya kupanga. Unaweza kupata hata vitatu. Standard ya kawaida.
 
Yaani mkuu option hapa ni kuzikata hizo plot na kuuza halafu hiyo pesa uitumie kujenga kwenye plot ingine.

Hicho vha Makongo, unagawa plot kama nne kwa bei ya milioni 5 hapo utakuwa na kama 20 Million. Hiyo sasa ndo uitumie kujengea kigamboni.

Hiyo ndo option nzuri zaidi, la sivo sioni kama capacity ya kujenga ipo kwa hicho kipato maana hata mkopo benki utapata kidogo sana.
 
Naomba msaada wakitaalam kuhusu ujenzi wa nyumba za kupangisha Nina maeneo mawili, moja Makongo sqm3000 na Kigamboni sqm1700, nataka kujenga nyumba za kupangisha.

Je, nafata taratibu gani bank wanipe mkopo au wajenge wao?


Income yangu kwa mwezi haizidi laki 5
Hata hiyo 15m pia hana anachosema ni kwamba mshahara wake wa mwezi ni laki 5 kwa tukishamshauri ndipo aende benki kukopa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana hata mbuni anataka kwenda kukopa bank
soma tena umuelewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba msaada wakitaalam kuhusu ujenzi wa nyumba za kupangisha Nina maeneo mawili, moja Makongo sqm3000 na Kigamboni sqm1700, nataka kujenga nyumba za kupangisha.

Je, nafata taratibu gani bank wanipe mkopo au wajenge wao?


Income yangu kwa mwezi haizidi laki 5
Niuzie eneo la makongo la sqm 3000.
 
Naomba msaada wakitaalam kuhusu ujenzi wa nyumba za kupangisha Nina maeneo mawili, moja Makongo sqm3000 na Kigamboni sqm1700, nataka kujenga nyumba za kupangisha.

Je, nafata taratibu gani bank wanipe mkopo au wajenge wao?


Income yangu kwa mwezi haizidi laki 5
Mkopo wa benki kama hauna kipato kingine tena kikubwa cha kuingiza pesa utalia...
Mkopo sio wa kujengea nyumba kama huna pesa nzuri inazunguka.
 
Mkuu usikate tamaa, pia sikushauri kwa kipato hicho ukope bank
Chakufanya Kama ni mfanya biashara na kipato chako ndo hicho laki tano, ongeza juhudi angalau uwe na laki saba halafu Kila mwezi unanunua tofali kadhaa, huku ukiendela na mapambano bila kuathiri familia

Uzuri siku hizi Kila kitu unaweza bandikisha

Hii ilinisaidia Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usije ukakakata tamaa. Pambana na kidogo ulichonacho. Jiwekee malengo na hihiyohiyo laki 5 utafika.Usijaribu kuchukua mkopo kwa sasa utalia na hautatimiza lengo.

Epuka matumizi ambayo si ya lazima na anza kununua tofali hata kama ni moja.Utakuja kutoa ushuhuda hapa.Humu JF kila mtu ana maono yake. Chambua mazuri mabaya yaache.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza beba mkopo bank au ukatafuta investors ila itabidi uandae pitch nzuri sana waone kama plan yako inaweza rudisha hela vizuri.

Bank loan faida yake ni kua unamiliki 100% ya biashara yako labda ukishindwa kulipa mkono benki wanaweza beba kila kitu ulichoweka.

Investment faida yake ni kua sio mkopo kwa hiyo biashara ikifeli humlipi mtu chochote ila tatizo lake ni kua hutomiliki 100% maana lazima ugawe shares.

Hapo sasa ni wewe umiza kichwa uchague njia unayotaka kupita. Ila cha muhimu sana eneo na umejipanga vipi maana real estate sio market ya kitoto
 
Back
Top Bottom