Nimehamia katika mji flani ambao kwa sasa ni makao makuu ya wilaya. katika kuangalia biashara gani naweza kuifanya nimepata wazo la kuanzisha chekechea kwa kuanzia na baadae daycare kwani hakuna huduma hiyo katika haka kamji.
sasa wadau naombeni msaada wenu wa taratibu za kisheria ili uruhusiwe kuanzisha, pia mtaji wangu ni mdogo ka m 6 na nataka nianze kwa kukodi jengo. Je nikiaanda b/plan ni mashirika gani yaweza kunisupport?
sasa wadau naombeni msaada wenu wa taratibu za kisheria ili uruhusiwe kuanzisha, pia mtaji wangu ni mdogo ka m 6 na nataka nianze kwa kukodi jengo. Je nikiaanda b/plan ni mashirika gani yaweza kunisupport?