Msaada wa mawazo nahitaji kujua taratibu za kutafuta mdhamini wa masomo

Msukuma 94

Senior Member
Apr 21, 2017
133
91
Habari zenu wakuu.... Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka jana, ninapenda kujiunga na fani ya uhigadhi wanyama pori katika chuo cha wanyamapori MWEKA au PASIANSI. Nimeshafanya application tatizo linaloniumiza kicha ni ada zake. Natokea katika familia ya hali duni. Mwenye uelewa wa namna ya kunisaidia jinsi ya kutafuta udhadhili naomba anisaidie mawazo. Asanteni
 
Sasa unajua chuo ada kubwa unaombea nn mkuu...!
sisi wenzie tunaosomea ualimu sio kama tulitaka ila tu mambo ya daddy hayako poa
 
Back
Top Bottom