kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,285
Hapendi romance kivipi mkuu? Ama unatatizo la kutoa harufu mdomoni? Hatari sana ama yeye ndo mwenye tatizo?1)ana kisirani
2)ana hasira
3)hajali chochote nitakachomfanyia
4)hajali wala kuheshimu hisia zangu
5)nikiona ameenda kinyume nikasema nimwambie ,anazira anasema nina lawama sana
6)single mother
7)simu mpaka umuanze
8)mtu wa social networks sana
9)usiku kitandani hana sitori yoyote ni kulala tena kivyake.ukisema umkumbatie anasema nambana na akilala ni fofofo
10)hapendi romance
11)anasemaga ananipenda sana
12)ni mshauri mzuri
13)hajali
Wakuu hadi kichwa kinanipasuka.mawazo ya kuweza kuishi vizuri na huyu .maana niko stressed sana.namzidi umri kama miaka 8.she is 27 mimi ni 35.lakini najiona niko down sana kwake
10)