Msaada wa mawazo kwa wanaofahamu utaratibu wa masomo wa foundation course

Parabora

JF-Expert Member
Jul 6, 2019
1,504
2,179
Habari zenu wakuu,
Nina mdogo wangu amemaliza form six na kwa matokeo ya juzi amepata EED ya PGM na kwa utaratibu ulivo Sasa hawezi kupata admission ya kwenda chuo.

Nilikuwa na option mbili ya diploma au akafanye foundation course mwaka mmoja ambayo kwa Sasa inatolewa na open university tu.

Ninachohitaji kujua ni kwamba Hawa open kwa watu wanaosoma hii foundation course utaratibu wao ni huu huu wa kuwapa material then wanaenda kujisomea wenyewe au wanaingia full darasani? Na hii foundation course wanayotoa wanafunzi watakuwa wanasoma masomo yote ya mchepuo wa PGM au huwa wanasoma nini haswa?

Mwenye uelewa anieleweshe
 
Sjajua utartibu wa foundation, ila kama kipato kinaruhusu bora afanye diploma ya kitu anachotaka kusomea kwenye degree yake.
 
Habari zenu wakuu,
Nina mdogo wangu amemaliza form six na kwa matokeo ya juzi amepata EED ya PGM na kwa utaratibu ulivo Sasa hawezi kupata admission ya kwenda chuo.

Nilikuwa na option mbili ya diploma au akafanye foundation course mwaka mmoja ambayo kwa Sasa inatolewa na open university tu.

Ninachohitaji kujua ni kwamba Hawa open kwa watu wanaosoma hii foundation course utaratibu wao ni huu huu wa kuwapa material then wanaenda kujisomea wenyewe au wanaingia full darasani? Na hii foundation course wanayotoa wanafunzi watakuwa wanasoma masomo yote ya mchepuo wa PGM au huwa wanasoma nini haswa?

Mwenye uelewa anieleweshe

Atasoma masomo ya mchepuo wa PGM na kuongeza masomo mengine matatu (3). Hicyo jumla atasoma masomo sita (6). Ananpaswa kupata GPA ya kuanzia 3.0 na kuendelea. Kwa maana nyingine apate wastani wa alama 50 na kuendelea ili aweze kupata sifa ya kuweza kuomba kujiunga na Chuo chochote hapa nchini. Kwa maelezo zaidi tembelea kituo chochote cha OUT cha mkoa uliopo utapata ufafanuzi mzuri zaidi. Je huyo mdogo wako anaishi mkoa gani?
 
Kwa Dar Es Salaam unaweza kupata mifumo yote mitatu yaani vipindi vya mchana, jioni na distance learning ila kwa mikoani ni distance pekee na mfumo unaotumiwa ni E-learning pekee.
 
Kwa Dar Es Salaam unaweza kupata mifumo yote mitatu yaani vipindi vya mchana, jioni na distance learning ila kwa mikoani ni distance pekee na mfumo unaotumiwa ni E-learning pekee.
Ni unaningia darasani mda wote mkuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom