Msaada wa mawazo kukopa pesa bank dhamana biashara yenye TIN namba.

NG'HOMELE

JF-Expert Member
Jan 13, 2014
470
147
Tafadhari rejea somo hapo juu, Nina biashara ya guest house iliyosajiliwa na TRA na mamlaka ya serikari za mitaa, lakini nyumba si yangu mimi nimpangaji na ninashida ya pesa ili kuboresha biashara yangu, Je kwa wazoefu wa masuala ya bank naweza kukopa kwenye mabenki biashara km dhamana yangu? ahsanten!
 
Mkuu kupata mkopo bank bila Financial Statements za miaka mitatu zilikokaguliwa na wahasibu wanaotambulika na serikali ni ndoto.

Nakushauri ukajaribu kwenye hizi Microfinance labda wanaweza kuweka dhamana asset zilizopo ndani ya guest yako kama vitanda, tv na vinginevyo.

Ni hayo tu.
 
Benki wanataka asset ambayo wanaweza kuiuza ukishindwa kulipa so kwa vile jengo sio lako itakuwa ngumu nadhani, ila unaweza kuzunguka mabenki kutokana na mahitaji yako unaweza ukapata chochote hasa kama hizo statement zako zinaonyesha kuwa biashara inaingiza hela za kutosha kuservice hiyo loan.
 
Mkuu kupata mkopo bank bila Financial Statements za miaka mitatu zilikokaguliwa na wahasibu wanaotambulika na serikali ni ndoto.

Nakushauri ukajaribu kwenye hizi Microfinance labda wanaweza kuweka dhamana asset zilizopo ndani ya guest yako kama vitanda, tv na vinginevyo.

Ni hayo tu.
Mkuu kupata mkopo bank bila Financial Statements za miaka mitatu zilikokaguliwa na wahasibu wanaotambulika na serikali ni ndoto.

Nakushauri ukajaribu kwenye hizi Microfinance labda wanaweza kuweka dhamana asset zilizopo ndani ya guest yako kama vitanda, tv na vinginevyo.

Ni hayo tu.
Ahsante kwa ushauri mkuu
 
Benki wanataka asset ambayo wanaweza kuiuza ukishindwa kulipa so kwa vile jengo sio lako itakuwa ngumu nadhani, ila unaweza kuzunguka mabenki kutokana na mahitaji yako unaweza ukapata chochote hasa kama hizo statement zako zinaonyesha kuwa biashara inaingiza hela za kutosha kuservice hiyo loan.

AHSANTE KWA USHAURI MKUU
 
Nenda access bank ila uwe serious kwenye kulipa,si una guest house na ipo wapi?
 
Hawana masharti sana na pesa unachukua ndani ya siku tatu,isipokuwa ukizidisha siku moja tu wanasumbua sana
 
Nenda access bank ila uwe serious kwenye kulipa,si una guest house na ipo wapi?
MKUU nna nyumba Arusha, lakini kwa sasa nko Day, wanaweza kunipa mkopo kwa kuweka dhamana ya gari mbili ambazo ninazo hapa Dar?.
 
MKUU nna nyumba Arusha, lakini kwa sasa nko Day, wanaweza kunipa mkopo kwa kuweka dhamana ya gari mbili ambazo ninazo hapa Dar?.
Mkuu unapata ila izo gari za biashara au na una biashara gani? Coz awewezi kukupa pesa biashara hauna
 
Ivi kama una biashara ambao imesajiliwa kisheria uwezi kupata mikopo midogo ya biashara
 
Back
Top Bottom