davetz28
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 543
- 617
Nawasalimu nyote kwenye ukumbi huu kuhimu sana wa kupashana habari,matukio na ujuzi kutoka kwa wadau waliomo humu ndani.
Mimi ni mwanachama mwenzenu japo si wa muda mrefu sana.
Mimi ni mwajiriwa wa serikali wa muda kiasi ninaomba mchango wa mawazo na ushauri wenu kuhusu kujifunza fani au taaluma fulani mtandaoni. Nimekuwa nikiona watu wakizungumza kuhusu application kadhaa ambazo zinatoa kozi za muda mrefu na mdupi,mojawapo wa application hizo ni kama Coursera, Udemy nk.
Maswali yangu ni kuwa ni kweli unaweza kusema kozi kama programming (code) na ukawa vizuri pasipo kwenda chuoni kuongeza maarifa?
Je kuna members humu ambao wamesoma masomo hayo na wamefanikiwa kupata kile walichojifunza kupitia mitandaoni?
Je soko lake likoje kwa maana ya suala la kujiajiri je platform ikoje ya kupata pesa kupitia elimu hiyo hasa kwa wale wanaojiajiri?
Binafsi natamanai sana kusoma kozi ambazo zitanisaidia kufanya biashara mtandaoni je kozi zipi ni nzuri ambazo kwa kiasi kikubwa naweza kujifunza kwa uhakika na kuanza biashara?
Nashukuru sana kwa atakaye tumia muda wake kunipa uzoefu na maoni yake.
Pole kama nitakuwa nimezunguka sana kuandika uzi huu,Mungu awabariki sana
Mimi ni mwanachama mwenzenu japo si wa muda mrefu sana.
Mimi ni mwajiriwa wa serikali wa muda kiasi ninaomba mchango wa mawazo na ushauri wenu kuhusu kujifunza fani au taaluma fulani mtandaoni. Nimekuwa nikiona watu wakizungumza kuhusu application kadhaa ambazo zinatoa kozi za muda mrefu na mdupi,mojawapo wa application hizo ni kama Coursera, Udemy nk.
Maswali yangu ni kuwa ni kweli unaweza kusema kozi kama programming (code) na ukawa vizuri pasipo kwenda chuoni kuongeza maarifa?
Je kuna members humu ambao wamesoma masomo hayo na wamefanikiwa kupata kile walichojifunza kupitia mitandaoni?
Je soko lake likoje kwa maana ya suala la kujiajiri je platform ikoje ya kupata pesa kupitia elimu hiyo hasa kwa wale wanaojiajiri?
Binafsi natamanai sana kusoma kozi ambazo zitanisaidia kufanya biashara mtandaoni je kozi zipi ni nzuri ambazo kwa kiasi kikubwa naweza kujifunza kwa uhakika na kuanza biashara?
Nashukuru sana kwa atakaye tumia muda wake kunipa uzoefu na maoni yake.
Pole kama nitakuwa nimezunguka sana kuandika uzi huu,Mungu awabariki sana