Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu na nilikuwa na mtaji wa mil 1.3 plan zangu zimelenga kufungua sehemu ya fast food au street food
Ambayo hasa itakuwa na product ya kuku na samaki na vitafunio kama kachori,sambusa na vingine vingi
Pia na vinywaji
Je ni maeneo gani yatafaa
Je mtaji wangu unatosha
Je ni gharama gani za kukodi eneo
Je gharama za kutengeneza kibanda japo cha kianzia ni shingapi
Ambayo hasa itakuwa na product ya kuku na samaki na vitafunio kama kachori,sambusa na vingine vingi
Pia na vinywaji
Je ni maeneo gani yatafaa
Je mtaji wangu unatosha
Je ni gharama gani za kukodi eneo
Je gharama za kutengeneza kibanda japo cha kianzia ni shingapi