Msaada wa mawazo jamani, mke wangu kashika mimba kitoto bado kichanga.

Nashukuru mkuu kwa mawazo yako mazuri
Kiafya ina changamoto, lakini kuua kichanga inachangamoto zaidi! Wewe ndiye mwanaume, huyo mkeo asikupangie maamuzi. Issue ya kutoa siiafiki kabisa na hata kama mkeo anaipa support usikubali.Na wewe acha aibu, mwanaume unakabiliana na changamoto sio kuzikimbia! Dont find simple soln to complex matters!

Huyo aliye tumboni ni mwanao, mtetee, mlinde na muoneshe upendo hali yu tumboni! Masuala ya kuwaza kumtoa yanamuumiza.

Kama mama hana tatizo kiafya litakalopelekea kudhoofika na kushindwa kuzaa Usimpe nafasi kuwaza ujinga wa kumuua mwanao!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani hili ni balaa blue inabid nicheke tuu mimi nilipata mimba ya pili mwanangu ana miezi 7 nilichanganyikiwa sana sasa ww mwezi 1???? Poleni sana jamani ila kila kitu kinawezekana mkeo atajifungua salama ila mapenzi na kumjali huyo kichanga kunahitajika sana sana lishe muhimu la sivyo atapata utapiamlo mama aendelee kumnyonyesha hadi mimba ifikie miezi 6 au 7 aache kwa ajili ya matayarisho ya kichanga mwingine lol. Watoto wanapishana miezi 10 yani nachekaaa kama mazuri lol
Kipindi unashika mimba huyo mtoto, ulikuwa umemwachsha maziwa?

Nauliza tuu nijifunze.

Sent using simu mbovu
 
Ndio maana nimefikilia kutupia uzi nipate mawazo mbalimbali niskalie kusikiliza ya mke wangu rakini kwa asilimia nyingi nimeona wengi wanazuia kutoa mimba, enewei kunausemi unasema asie sikia ya wengi mchaw ntajitaidi kuyafanyia kaz mawazo yenu
Ni kuzaa tu mkuu huna jinsi na pole sana kwa unayopitia.........

Mie ni Mkristo,sorry siijui imani yako ila nilipokuwa madhabahuni siku ya ndoa yangu ktk maswali niliyoulizwa mimi na mke wangu tukayajibu kwa vinywa vyetu {RC wote huwa tunaulizwa} moja wapo lilikuwa ni “je mpo tayari kuwapokea,kuwalea na kuwatunza watoto mtakaopewa na Mungu?”,kiimani tendo lolote la ndoa mtakalolifanya ndani ya ndoa yenu Takatifu matokeo yoyote yatakayojitokeza iwe ni kwa kupenda sisi au vinginevyo huo huwa mpango wa Mungu sasa ktk viapo kama hivi unadhani una uwezo wa kufanya nini ili hiki kiumbe kisiuone mwanga?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sante mkuu kwa mchango wako
Basi fuata ushauri huo, na wadau hapo juu wamegusia hilo.

Kwa sasa tafuta ushauri zaidi wa namna ya kulea ili kumuepusha huyu aliyepo na madhara mbalimbali ya kiafya maana ndio yuko kwenye uwezekano mkubwa wa kudhurika kutokana na mama kuwa mjamzito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiogope MUNGU atawawezesha kuwalea wote wawili kila jambo lina kusudi Kwa faida au kutupa somo kwahiyo kosa halihalalishwi Kwa kufanya kosa jingine mshukuru MUNGU yeye atawakuza hutaamini USITOE MIMBA kutoa mimba ni uuaji hautakuwa tofauti na jambazi anayepora Kwa kupiga risasi au mchawi anayeloga na kuwatoa watu kafara.... Usiogope mwambie MUNGU tu akuwezeshe na utawalea vizuri tu. Wakati ujao utakuwa umejifunza pia kuwa makini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu sante kwa mawazo mazr
Usiogope MUNGU atawawezesha kuwalea wote wawili kila jambo lina kusudi Kwa faida au kutupa somo kwahiyo kosa halihalalishwi Kwa kufanya kosa jingine mshukuru MUNGU yeye atawakuza hutaamini USITOE MIMBA kutoa mimba ni uuaji hautakuwa tofauti na jambazi anayepora Kwa kupiga risasi au mchawi anayeloga na kuwatoa watu kafara.... Usiogope mwambie MUNGU tu akuwezeshe na utawalea vizuri tu. Wakati ujao utakuwa umejifunza pia kuwa makini

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hatuna cha kukushauri, wewe ni baba kijacho, hongera watoto ni baraka buana na kwa kuwa imesha tokea hamna namna na hakuna kufanya abortion,
 
Kwafuraha mtoto amezaliwa nikajisemea na mke wangu kua mwanetu akifikisha miaka minne ndo tutawaza kuongeza mwingine na tutatumia njia za uzaz wa mpango kwa kalenda

Rakn jana naambiwa na wife kua nmjamzito nlishangaa kwel hatuna raha kwel kwa hili na tangia ajifungue hajaingia kwenye mzunguko wa hedhi inamaana kabeba mimba bila kuona sikuzake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwafuraha mtoto amezaliwa nikajisemea na mke wangu kua mwanetu akifikisha miaka minne ndo tutawaza kuongeza mwingine na tutatumia njia za uzaz wa mpango kwa kalenda

Rakn jana naambiwa na wife kua nmjamzito nlishangaa kwel hatuna raha kwel kwa hili na tangia ajifungue hajaingia kwenye mzunguko wa hedhi inamaana kabeba mimba bila kuona sikuzake

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndiyo hiyo inawezekana kabisa! Kwa mama aliyetoka kujifungua hata kama hapati hedhi lakini ana uwezo wa kupata mimba wengi tu imewatokea so usishangae hiyo ipo sana.
 
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]

Hapa naona kuna jambo watu wanachanganya.Kitaalamu ipo hivi , mzunguko wa mwanamke umegawanyika katika sehemu kuu mbili ; follicular phase ambayo ni kuanzia day first hadi day 14(ovulation day).baada ya follicular inafuatia luteal phase ambayo huanza day 15 (baada ya ovulation) mpaka day 28 ( beggining of menstruation) .kwa hiyo unaweza ona hapo kinachotangulia ni ovulation then ndo inafuta menstruation, so mke wako alikuwa ameovulate yai, ingetokea hukumpa hiyo sperm basi angeona siku mwisho wa mwezi huo aliopata mimba.yani inaanza ovulation (yai kupevuka ), yai lisiporutubishwa na sperm ndo linatoka pamoja na ukuta wa tumbo kama hedhi.
Hope umenielewa ingawa nimejitahidi sana kusumarize
 
Back
Top Bottom