kabugira
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 1,186
- 650
Ni wazo zuri kama utapata Daktari wa uhakika kwa ajiri ya kulinda usalama na afya take.
kutoka: 22D Arnold st.
kutoka: 22D Arnold st.
Bado sijamaliza kutoa ushauri japo nimesema kuitoa mimba ni suluhu ya kwanza.ushauri gani unampa mwenzako
Dah! January na November sio mchezo.Hao watakua kama mapacha jiandae kuwalea kwa jinsi hiyo utaenjoy sana ukishacop na mazingira... cha muhimu concentrate ktk kumlea huyo aliepo challenge kubwa ni kupata utapia mlo na magonjwa yanayohusiana na virutubisho coz hata nyonya vzr...
Yupo bro wng alipata the same case aliprefer arbotion lkn nkamshauri nkamwambia alieko tumbon ni mtoto kama huyo why msimuue huyo aliehai ili kumpisha huyo anaekuja?
Bro akasema weeee kesi hyo basi nkamwambia na hyo arbotion pia ni kesi vilevile...
Akarelax wakalea mimba na mtoto akazaliwa na maisha yanaendelea kama kawa...
Ila anahistoria watoto wawili ndan ya mwaka mmoja January na november
Sent using Jamii Forums mobile app
Msitoe, tatizo mnawaza jamii itawachukuliaje, ilihali wanajamii kila mmoja yupo bize na matatizo yake, atashtuka leo kesho yameisha, amber ruty tigo imesambaa kila mtu kamwona ila leo hii kila mtu na maisha yake hamna hata anaehangaika na yasiyo muhusu, sasa iweje wewe kumpa mkeo mimba ya karibu ikubugudhi, kwani hao unaodhani watakuchulia vipi wanakulisha au wanachangia senti yoyote kwenye maisha yako, kwa namna yoyote ukifanya kusudi la kutoa hiyo mimba ni unafiki kama walivyo wanasiasa, kwa hiyo acha unafiki tena kua proud umeua ndege wawili kwa jiwe moja, hapo mnajipa likizo ya kuzaa hata miaka 3 au 4 nyie mnalea tu.
Aisee pole sana, sitaki kukumbuka maumivu na mateso ya hali hiyo, kwanza inahitaji ujasiri mkubwa sana kukabiliana na hali hiyo.
Ushauri wangu leeni mimba japo sio rahis sana, utakuwa na migongano ya aina 2, ukimuwazia mtoto mnayemlea na ukimuwazia aliye tumboni ambaye hana hatia yoyote.
Ndugu yangu usikubali kupokea ushauri kutoa mimba, labda kama lipo tatizo la kiafya kwani kutoa hiyo mimba itakutafuna milele lakini kuzaa ni swala la miezi michache tu hali hiyo itapotea.
Mimi nafurahia maisha wallah na vijana wangu waliotangulizana na nikiwaza jinsi nilivyoteseka kukubaliana na hali ile basi najiona mimi nilikuwa baba imara niliyekataa kukatisha maisha ya kiumbe kisichokuwa na hatia kisa ndugu na majirani, Ishi maisha yako Mungu atawabariki zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aleee we hutaki watoto wengine? Hiyo inatokea kwa wanawake ambao wananyonyesha lakini bado wanaenda katika hedhiWakuu wanajamvi bila kupoteza mda iko ivi mke wangu kajifungua mwezi wa12 mwaka jana baada ya kujifungua nmekaa wiki tatu bila kufanya chochote,
Sku kazaa zilizofuatia nmefanya tendo mara kazaa ndani ya mwezi uliopta wa1 rakn jana mke wangu kapima amegundulika kua anaujauzito wa mwezi1 yaani mpaka nmesononeka maana mtoto wangu bado mdogo mno nisaidieni kimawazo.
Toa mchango wako nisingependa kejeli
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Msitoe, tatizo mnawaza jamii itawachukuliaje, ilihali wanajamii kila mmoja yupo bize na matatizo yake, atashtuka leo kesho yameisha, amber ruty tigo imesambaa kila mtu kamwona ila leo hii kila mtu na maisha yake hamna hata anaehangaika na yasiyo muhusu, sasa iweje wewe kumpa mkeo mimba ya karibu ikubugudhi, kwani hao unaodhani watakuchulia vipi wanakulisha au wanachangia senti yoyote kwenye maisha yako, kwa namna yoyote ukifanya kusudi la kutoa hiyo mimba ni unafiki kama walivyo wanasiasa, kwa hiyo acha unafiki tena kua proud umeua ndege wawili kwa jiwe moja, hapo mnajipa likizo ya kuzaa hata miaka 3 au 4 nyie mnalea tu.
Tatizo ata kalenda imechangua maana hajaingia kwenye mzunguko wa hedhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante ubarkiwe kwa mchango wakoMimba ni yako unachoogopa nini mkuu?na ninakupa warning mkijaribu kwenda kuua kichanga mtaandamwa na nuksi maisha yenu yote.
Ndivyo inavyokua kwa mwanamke na ni wakati huo ambapo mtashauriwa mkiwa wote kuchagua njia sahihi ya uzazi wa mpango na zipo nyingi. Sasa ukija kwenye dini unaambiwa eti kutumia njia hizo eti ni dhambi! Msala ukitokea, unapambana mwenyewe.
Hii kitu juzi tu imeniokoa na aibuMkiwa na mtoto Mdogo katika kupeana raha. Muwe mnakumbuka kutumia P2 hata Kama wifi akikwambia yupo siku salama.
Same time's genye zikizidi inabidi udanganye ili utolewe.
Anyway poleni .inabidi mzae tu.
Aleee we hutaki watoto wengine? Hiyo inatokea kwa wanawake ambao wananyonyesha lakini bado wanaenda katika hedhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unijibu na swali la kwanza sasa
😆😆😆😆Hizo nguvu za kukojoa nje angezitoa wapi.
Basi fuata ushauri huo, na wadau hapo juu wamegusia hilo.
Basi fuata ushauri huo, na wadau hapo juu wamegusia hilo.
Kwa sasa tafuta ushauri zaidi wa namna ya kulea ili kumuepusha huyu aliyepo na madhara mbalimbali ya kiafya maana ndio yuko kwenye uwezekano mkubwa wa kudhurika kutokana na mama kuwa mjamzito