Msaada wa mawazo jamani, mke wangu kashika mimba kitoto bado kichanga.

Kwaio unamaana mwanamke akijifungua hakuna yai lakwanza kutoka linakuja kmykmy lispobahatika kukutana na mbegu badae ndo inakua period sio

Hapa naona kuna jambo watu wanachanganya.Kitaalamu ipo hivi , mzunguko wa mwanamke umegawanyika katika sehemu kuu mbili ; follicular phase ambayo ni kuanzia day first hadi day 14(ovulation day).baada ya follicular inafuatia luteal phase ambayo huanza day 15 (baada ya ovulation) mpaka day 28 ( beggining of menstruation) .kwa hiyo unaweza ona hapo kinachotangulia ni ovulation then ndo inafuta menstruation, so mke wako alikuwa ameovulate yai, ingetokea hukumpa hiyo sperm basi angeona siku mwisho wa mwezi huo aliopata mimba.yani inaanza ovulation (yai kupevuka ), yai lisiporutubishwa na sperm ndo linatoka pamoja na ukuta wa tumbo kama hedhi.
Hope umenielewa ingawa nimejitahidi sana kusumarize[/QUOTE]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu, wewe sio wa kwanza kukumbana na hiyo kadhia mpe full support mkeo na nendeni kwa wataalam wa afya (hospital to be specific) mtaambiwa cha kufanya....Congratulation manake soon utakua Baba tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkeo akijifungua mtoto lets say wa kwanza kaa naye mbali au cheza smart sana..kumpata mdogo wake watakaopishana miezi 10 ni fasta tu

Ndo maana wazee wa zamani wengi walikuwa wanawarudisha wake zao nyumbani kwao baada ya kujifungua kwa muda fulani then wanarudi..
 
Mkuu pole sana kwa maswaiba ndio ukubwa uo, hapo mzee lea tu ujauzito wako ni dhambi kubwa sana kuitoa iyo mimba mfano wewe ungetolewa sidhani kama ungeleta uzi wako hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miongoni mwa madhambi makubwa baada ushirikina ni kuuwa mtoto/watoto kwa kuhofia malezi yke

Mzee nakushauri usithubutu kufanya kitu chochote kwa ajili ya kumdhuru kiumbe aliyetumboni mwache tu ajufungue usijali maneno ya watu

Ila kitu chengine tafuta Daktari akufundishe njia sahihi za Uzazi wa mpango sizikuwa za kupandikiza Kijiti & vidonge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu wanajamvi bila kupoteza mda iko ivi mke wangu kajifungua mwezi wa12 mwaka jana baada ya kujifungua nmekaa wiki tatu bila kufanya chochote,

Sku kazaa zilizofuatia nmefanya tendo mara kazaa ndani ya mwezi uliopta wa1 rakn jana mke wangu kapima amegundulika kua anaujauzito wa mwezi1 yaani mpaka nmesononeka maana mtoto wangu bado mdogo mno nisaidieni kimawazo.

Toa mchango wako nisingependa kejeli
Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza mawazo, lililokupata huwapata wengi wenye uwezo wa kuzaa/kuzalisha. Wengine huamua kutoa na wengine kulea! Nakushauri acha mkeo ajifungue na kisha chuku atua stahili kwa wakati ujao!
 
Mkuu usihuzunike kabisa. Hii hali imewapata wengi mnooo. Cha kufanya, mtoto kama alikua ananyonya msimuachishe, bali aendelee kunyonya na mama ale vizuri. Mtafutie msaidizi apate muda mzuri wa kupumzika. Mpe support na jali afya yake. Kua nae karibu apate faraja na huyo mtoto mchanga aendelee kumlea vizuri kwa upendo huku mkisubiri mdogo wake. Kuhusu maneno ya watu usijali.binadamu hua hawakosi cha kuongea hata siku moja. Kua na amani, Mungu ana mpango na kila kiumbe chake. Kila la kheri.
 
Wakuu wanajamvi bila kupoteza mda iko ivi mke wangu kajifungua mwezi wa12 mwaka jana baada ya kujifungua nmekaa wiki tatu bila kufanya chochote,

Sku kazaa zilizofuatia nmefanya tendo mara kazaa ndani ya mwezi uliopta wa1 rakn jana mke wangu kapima amegundulika kua anaujauzito wa mwezi1 yaani mpaka nmesononeka maana mtoto wangu bado mdogo mno nisaidieni kimawazo.

Toa mchango wako nisingependa kejeli
Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Baraka hizo mm wa kwangu ilikuwa hivyo sasa hivi wako shule walimu na wanafunzi wanawaita mapacha ila utamu utajua wakati wa kulipa hada ila usitoe lea baba mbona flesh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom