Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,955
Hili pando unalopanda hapa uwe na uhakika Kuna siku utalipahuyo mzee hakufa bahat mbaya, kwa ninavyojua na visa nilivyosikia, ni kuwa aliuliwa(kafara) na mtumishi fulan mnae muamni sana, mtumishi huyo hupenda kufanya masafari ya nchini israel(kuhij/kufanya ibada) ambapo kila mwaka alkuwa akienda na watu, huwashawish wafuasi wake(waamini wa semina zake) waungane kwenda israel kuomba, na huyo sedekia kifo kilmkuta huko huko israel....
Acheni kuwaamini hao matapeli wanaojiita walimu, wachungaji na manabii, hakuna nabii wala mchungji wa kweli karne hii, ukwel mchungu but acha niongee wazi, that singer(sedekia) he didn't deserve to die too early, but washirikina wanaojiita watumishi, walimfanyia ubaya..Ogopa sana mtumish anaejifanya anaijua iyo israel feki ya wale wazungu waarabu wa middle east, israel ya kwel ni Africa, sasa hayo matapel yanamuomba Mungu yupi anaeshindwa kuyaonesha mafumbo ya biblia? ,
nawaona hata humu wafusi wa huyo mtumishi jinsi alivyo wabrainwash mpka mmekuwa watumwa wake mnamuona wamaana, kumbe useless kabsa.....
IPO SIKU WALIO HUSIKA WATAUMBUKA NA WATALIPWA KWA USHETANI WAO..
Utajuta kuzaliwa. Unasubutu kuzushia Watumishi wa Mungu uongo?
Kwani Sedekia angeishi milele?