Lakini wandugu huyo mke wa marehemu tumepata habari yake Ila picha haijawekwa ili kunogesha ubuyu jamani so tulishakubaliana ndugu zangu kwamba habari iendane na picha? Fanyeni utaratibu basi maana kama anafaa watu tukaongeze mtoto mwingine tumnyang'anye huyo tax driver
Wanawake sometimes kukua ni rahisi Sana.
Sasa hivi huyo mama anafanya nini?
Mbona kwenye videos zao za nyimbo mama huyu alionekana mtakatifu sana
Kweli wewe unawafahamu.Tena si Kigoma bali ni Katumba huko Mpanda Katavi.Kwenye makambi ya wakimbizi wa Burundi wa miaka ya 1972 .Asili yao ni Burundi sema wamezaliwa Huko kambini. Na wengi husema wanatoka Kigoma.Mkewe nae alikua wa huko
mboma wa kawaida tu,sijui hata alikuwa anahangaika nini
Ni kweli ni tabia japo wengine wanaficha tabia zao mbaya na kuja kuonesha uhalisia wao wakiingia kwenye ndoa. Lakini pia kuokoka na kumfuata Yesu ni suala binafsi. Si la kifamilia!jamaa aliangalia sura,badala ya tabia !! poor man of God!,shida ni kwa watt aliowaacha,heri Kama mwakasege ameamua kuwalea itakuwa vyema !!
Alikuaga jirani mwema sana ila hakumaliza mwaka toka mumewe kufa akaanza kula vyombo kama pambula na huyo dreva taksiKweli wewe unawafahamu.Tena si Kigoma bali ni Katumba huko Mpanda Katavi.Kwenye makambi ya wakimbizi wa Burundi wa miaka ya 1972 .Asili yao ni Burundi sema wamezaliwa Huko kambini. Na wengi husema wanatoka Kigoma.
😂😂😂😂 Kwa ubuyu tu nakuaminia binamu....Alikuaga jirani mwema sana ila hakumaliza mwaka toka mumewe kufa akaanza kula vyombo kama pambula na huyo dreva taksi
Jirani upoKwa ubuyu tu nakuaminia binamu....
Nipo nimejaa tele, nakuona unapita umebeba mafaili 😂😂😂Jirani upo
Naona kuna dalili ya thread mpya kuanza soon 😅😅huyo mzee hakufa bahat mbaya, kwa ninavyojua na visa nilivyosikia, ni kuwa aliuliwa(kafara) na mtumishi fulan mnae muamni sana, mtumishi huyo hupenda kufanya masafari ya nchini israel(kuhij/kufanya ibada) ambapo kila mwaka alkuwa akienda na watu, huwashawish wafuasi wake(waamini wa semina zake) waungane kwenda israel kuomba, na huyo sedekia kifo kilmkuta huko huko israel....
Acheni kuwaamini hao matapeli wanaojiita walimu, wachungaji na manabii, hakuna nabii wala mchungji wa kweli karne hii, ukwel mchungu but acha niongee wazi, that singer(sedekia) he didn't deserve to die too early, but washirikina wanaojiita watumishi, walimfanyia ubaya..Ogopa sana mtumish anaejifanya anaijua iyo israel feki ya wale wazungu waarabu wa middle east, israel ya kwel ni Africa, sasa hayo matapel yanamuomba Mungu yupi anaeshindwa kuyaonesha mafumbo ya biblia? ,
nawaona hata humu wafusi wa huyo mtumishi jinsi alivyo wabrainwash mpka mmekuwa watumwa wake mnamuona wamaana, kumbe useless kabsa.....
IPO SIKU WALIO HUSIKA WATAUMBUKA NA WATALIPWA KWA USHETANI WAO..
Mbona Ina kuja picha ya mchungaji naniliiiii nabii nani vileeeee.huyo mzee hakufa bahat mbaya, kwa ninavyojua na visa nilivyosikia, ni kuwa aliuliwa(kafara) na mtumishi fulan mnae muamni sana, mtumishi huyo hupenda kufanya masafari ya nchini israel(kuhij/kufanya ibada) ambapo kila mwaka alkuwa akienda na watu, huwashawish wafuasi wake(waamini wa semina zake) waungane kwenda israel kuomba, na huyo sedekia kifo kilmkuta huko huko israel....
Acheni kuwaamini hao matapeli wanaojiita walimu, wachungaji na manabii, hakuna nabii wala mchungji wa kweli karne hii, ukwel mchungu but acha niongee wazi, that singer(sedekia) he didn't deserve to die too early, but washirikina wanaojiita watumishi, walimfanyia ubaya..Ogopa sana mtumish anaejifanya anaijua iyo israel feki ya wale wazungu waarabu wa middle east, israel ya kwel ni Africa, sasa hayo matapel yanamuomba Mungu yupi anaeshindwa kuyaonesha mafumbo ya biblia? ,
nawaona hata humu wafusi wa huyo mtumishi jinsi alivyo wabrainwash mpka mmekuwa watumwa wake mnamuona wamaana, kumbe useless kabsa.....
IPO SIKU WALIO HUSIKA WATAUMBUKA NA WATALIPWA KWA USHETANI WAO..
mtajeee kuwa huruMbona Ina kuja picha ya mchungaji naniliiiii nabii nani vileeeee.
ipo siku nitaweka thread humuNaona kuna dalili ya thread mpya kuanza soon
Twende kazi dadeki
Namsaidia kibatala kuwafanya makarao wabanwe na haja kubwaNipo nimejaa tele, nakuona unapita umebeba mafaili
Vijana wengi humu wa 2000 hivi sio rahisi kuyajua hayaImebidi nicheke sana
Hahahahah imebidi nicheke maan najua mpk leo ni silentine 😂😂Zamani nilijua hiyo sehemu inaitwa "sailentini" 😀