ukabu
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 212
- 68
Msaa ninakwama hapa nina kadi yangu ya visa ya crdb hua naitumia kufanya miamla mbali mbali online sasa changamoto imekuja nataka nilipie lav software flan bei yake ni usd 75 kila nikijarbu kununua naletewa msg hii ..nimeenda had crdb bank ila hao jamaa wa hapa branch seems nao hawana knowledge ya hii kitu
1. Mwenye idea ya nawezaje kulipia
Msaada tafadhali
1. Mwenye idea ya nawezaje kulipia
Msaada tafadhali