Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,691
- 924
Habari! wakuu naweza pata maelekezo ni wapi naweza pata makeup kit kwa hapa Dar ni maduka yapi hasa,huyu mtu anayehitaji hii kitu ni beginner ko ni vitu vipi essential zaidi anahitajika asivikose,
Pia grade zake na bei zake,vipi naweza jua hii fake au original,na njia ipi bora katika kupunguza gharama na kupata kitu bora kuagiza nje au hapa Tz.Ahsnteh na karibuni mwenye ushauri,maoni na nyongeza pia nayapokea.
Pia grade zake na bei zake,vipi naweza jua hii fake au original,na njia ipi bora katika kupunguza gharama na kupata kitu bora kuagiza nje au hapa Tz.Ahsnteh na karibuni mwenye ushauri,maoni na nyongeza pia nayapokea.