LUKAMA
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,081
- 1,271
Kama kichwa cha habari kinavo jieliza, nimeona habari moja toka BBC kuhusu raia wa Afrika magharibi sana sana Nageria wanaojilipua na kuvuka mpaka kwenda America japo kuwa njia ni hatari sana kwani watu wengi wanafia njiani na wengi pia wanafanikiwa kufika.
Njia wanazopita
Safari inaanzia Nageria hadi Ecuador kwa ndege kwa sababu sheria za uhamiaji sio ngum sana katika nchi hi baada ya hapo wanachua basi hadi Colombia, wakishafika hapa wanchua Botti hadi sehem inayoichwa Darian Gap, sasa kuanzia hapa mziki unapokuja kwasababu unatembea kwa mkuu hadi kuitafuta mexico ukiwandani ya msitu mnene wenye wanyama wakari, walanguzi wa madawa ya kulevya na majambazi, ukisha toboa hapa basi ukombele ya safari mambo yanakua mazuri kwa habari ya usalama.
Nimeona watoto wadogo, wakinadada, vijana wakiume na wazee jinsia zote, wengine wameondoka na familia yote toka Afrika na kujaribu bahati yao kwenda U.S.A.
wakuu nilikuwa naomba mchanganuo wagharama kama na mimi naweza fanya namna ya kujilipua niende kwa Trump nikasake maisha mazuri , ukiona watu wana risk maisha ujui huko kuna asali na maziwa, watu wa finance wanasema the high the risk, high the return.
Nadhani wengi wandugu zetu kuto mataifa ya africa magharibi wamefanikwa kwa sababu ya kutoongopa risk ya kwenda mataifa yalioendelia kusaka noti.
Wenye ueliwa na njia hii anaweza kushare hapa tukapata ujuzi wa kwenda kutafuta fusa kwenye nchi zilizo endelia kama U.S.A
Njia wanazopita
Safari inaanzia Nageria hadi Ecuador kwa ndege kwa sababu sheria za uhamiaji sio ngum sana katika nchi hi baada ya hapo wanachua basi hadi Colombia, wakishafika hapa wanchua Botti hadi sehem inayoichwa Darian Gap, sasa kuanzia hapa mziki unapokuja kwasababu unatembea kwa mkuu hadi kuitafuta mexico ukiwandani ya msitu mnene wenye wanyama wakari, walanguzi wa madawa ya kulevya na majambazi, ukisha toboa hapa basi ukombele ya safari mambo yanakua mazuri kwa habari ya usalama.
Nimeona watoto wadogo, wakinadada, vijana wakiume na wazee jinsia zote, wengine wameondoka na familia yote toka Afrika na kujaribu bahati yao kwenda U.S.A.
wakuu nilikuwa naomba mchanganuo wagharama kama na mimi naweza fanya namna ya kujilipua niende kwa Trump nikasake maisha mazuri , ukiona watu wana risk maisha ujui huko kuna asali na maziwa, watu wa finance wanasema the high the risk, high the return.
Nadhani wengi wandugu zetu kuto mataifa ya africa magharibi wamefanikwa kwa sababu ya kutoongopa risk ya kwenda mataifa yalioendelia kusaka noti.
Wenye ueliwa na njia hii anaweza kushare hapa tukapata ujuzi wa kwenda kutafuta fusa kwenye nchi zilizo endelia kama U.S.A