Vitus mkumbee
Member
- Nov 1, 2010
- 22
- 1
Wazee naombeni msaada mimi nikinunua umeme wa 30000 haumalizi hata mwezi na sina matumizi makubwa nina frig moja tu na inatumika siku moj moja.taa nimefunga energ sever sina jiko wala nini tatizo nini? Wire ring ni mpya au kuna mautundu maana nackia huko dar wengine wananunua umeme wa 500
na unamaliza mwezi mzima kama kuna maujanja tupeane jamani.
na unamaliza mwezi mzima kama kuna maujanja tupeane jamani.