Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Ninamemory card yangu ya sandisk ya 64Gb tatzo lake kubwa ni virusi yaan unaweza kuingiza vitu vyako lakini ukakutaa baada ya miezi miwili au 3.
Unakuta baadhi ya nyimbo zina goma goma naombeni msaada kama wakuzui wadudu wasiingie kwenye memory card yangu kama ina wezekana. Sina kawaida ya kurushiwa na mtu nyimbo huwa na download mwenyewe online
Unakuta baadhi ya nyimbo zina goma goma naombeni msaada kama wakuzui wadudu wasiingie kwenye memory card yangu kama ina wezekana. Sina kawaida ya kurushiwa na mtu nyimbo huwa na download mwenyewe online