Nenda uwanja wa kupigia simu bonyeza namba hizo nilizokuwekea hapoHii ndio nzuri safiiiii... nielekeze hatua
Je akitaka aziruhusu tena inakuwaje?Nenda uwanja wa kupigia simu bonyeza namba hizo nilizokuwekea hapo
Hapo hakuna kuchagua ni wote wakupigiao, kuchagua sijui labda wengine wanakuja watatoa mpyaNaandika code hio na namba ya mtu naiwekaje?
#002#Je akitaka aziruhusu tena inakuwaje?
Kwani anadaiwa?weka airplane mode au lipa madeni
Hapo ni sawana kuizima kabisa!weka airplane mode au lipa madeni
Hiyo ngumu lbd um block, hutoona sms wala calls zake.Nilkuwa nataka mtu mmoja tu
Muweke blacklistNilkuwa nataka mtu mmoja tu
Mkuu kamuombe tu msamaha maana atatumia line/namba nyingineNilkuwa nataka mtu mmoja tu
Install app flan inaitwa private message i thinkSio kila ukiwa unataka kutopatikana hewani unakwepa madeni... sometimes unaweza banwa na demu muda wote sasa hapo inabidi ublock michepuko.