msaada wa kuzipata message zangu za zamani, majina(contacts) yaliyofutwa, kwenye cellular phone(sim.

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,906
6,909
wakuu,

imezoeleka mtu anapoformat computer, hata kama alizifuta data zake zote, lakini akifanya back up, data zote anazipata. swali la kujiuliza, unapofuta, data hizo zinaenda wapi?

na kama data hizo zinapatikana kwenye computa, kwenye simu ya mkononi, majina, nyimbo, picha na message zinapatika vipi?

kuna mtu kafanikiwa kuzipata picha za zamani alizofuta, lakini kupata message na majina yaani contact, bado hatujalitegua swali hilo.

nawasilisha, naombeni mawazo myenu
 
Unapo format PC most of the time haizifuti data ila inamark eneo zilipo hizo data kuwa liko free ila data iko pale pale ndo maana unaweza kuzipata kiurahisi. Ukitaka kufuta inabidi ufanye overwiting ya eneo lililobeba data, programs kama Eraser zinaweza kufanya hilo securely.

Kuhusu swali lako kwa kifupi inategemea na specifics, ila sio rahisi kuzipata hizo contacts tena.
 
Unapo format PC most of the time haizifuti data ila inamark eneo zilipo hizo data kuwa liko free ila data iko pale pale ndo maana unaweza kuzipata kiurahisi. Ukitaka kufuta inabidi ufanye overwiting ya eneo lililobeba data, programs kama Eraser zinaweza kufanya hilo securely.

Kuhusu swali lako kwa kifupi inategemea na specifics, ila sio rahisi kuzipata hizo contacts tena.

asante mkuu kwa maoni yako. na sms nazo inakuwaje? inawezekana mtu akazipata sms anazofuta kila siku kwenye sim card yake?
 
Back
Top Bottom