Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Habari zenu ndugu zangu, mimi ni kijana wa umri wa miaka 22 ila na urefu wa 183cm,uzito wangu nin 95KG. Kiukweli na uzito mkubwa kiasi cha kwamba kuna muda nikitembea sana naona shida hasa jua likiwa kali (ingawa ukinitizama kwa kuwa kidogo mrefu utaona kama na mwili wa kawaida ). Ninaonaga matangazo kabla haujaanza kufanya mazoezi unaitajika uondoe sumu kwanza mwilin ili upungue haraka bila hvyo utafanya mazoez na usione chochote.
Sasa naomba njia ya kundoa sumu mwili. Na ninaomba vyakula vizur kwa ajili ya kupungua nilisoma kitabu cha Dr. Berg cha YOUR BODY TYPE moja ya principle anakwambia usile sugar au carbohydrate. Swali langu hapa n moja nitakula nini? Maana kila tunda ninalo liona ni carbohydrate au kuna matunda ambayo siyo carbohydrate? Kwa wataalamu naombeni mpangirio mzur wa chakula ili nione matokeo mapema kwasababu huu mwili naona ubako elekea hypertension inaniita maana naziona dalili kabisa za hypertension.
Asanteni sana kama kuna mtu ana mpangilio mzuri wa chakula labla atataka anicheck basi number yangu ya whatsapp ni 255713696164
Sasa naomba njia ya kundoa sumu mwili. Na ninaomba vyakula vizur kwa ajili ya kupungua nilisoma kitabu cha Dr. Berg cha YOUR BODY TYPE moja ya principle anakwambia usile sugar au carbohydrate. Swali langu hapa n moja nitakula nini? Maana kila tunda ninalo liona ni carbohydrate au kuna matunda ambayo siyo carbohydrate? Kwa wataalamu naombeni mpangirio mzur wa chakula ili nione matokeo mapema kwasababu huu mwili naona ubako elekea hypertension inaniita maana naziona dalili kabisa za hypertension.
Asanteni sana kama kuna mtu ana mpangilio mzuri wa chakula labla atataka anicheck basi number yangu ya whatsapp ni 255713696164