Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Mama yangu ana nokia C7 sijui hata alichokifanya ila inaitaji password ili simu iwake naombeni msaada wenu wa jinsi ya kuitoa hii password hapa maana nimejaribu kubonyeza cha kuwashia + home button + volume down then volume up bado ikagoma kama.kuna mtu anaujuzi naomba msaada wake.
N:B Kuna wale wazee wa kupenda kuwa negative tu kwa kila jambo ukweli simu hii ni ya mama asanteni na karibuni kwa michango ya mawazo yenu.
N:B Kuna wale wazee wa kupenda kuwa negative tu kwa kila jambo ukweli simu hii ni ya mama asanteni na karibuni kwa michango ya mawazo yenu.