Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Nipo Bumbuli, Lushoto nimeangusha simu yangu kwenye gari ya Noah ilikuwa charge imezima kama mnavyojua Samsung S serieos chaji ni shida
Naombeni ushauri na weza kuitrack kwa IMEI yake au kama kuna kuna mtu anaweza nisaidia kuipata hii simu naomba anai PM
Naombeni ushauri na weza kuitrack kwa IMEI yake au kama kuna kuna mtu anaweza nisaidia kuipata hii simu naomba anai PM