Habari za jioni wana jamii forums?
Niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi wangu! Mimi nikijana niliebahatika kupata scholarship ya kwenda kusoma urusi, ambapo mategemeo yangu ni kuondoka mwakani ,(kwa mujibu wa ubalozi wa urusi nchini Tanzania )
Hii scholarship ina cover tuition fee tu, Lakini kuhusu gharama zifuatazo najitegemea
1. Gharama za kupanga chumba cha kulala
2. Gharama za afya yangu
3. Gharama za kula na kuvaaa
Hivyo naomba msaada wa kupata mtu wa kunisaidia , au taasisi yoyote ambayo naweza kuwaendea wakanisaidia ! Maisha ya mtaani ni magumu sana, nimejitahid kulima na kuomba kazi kila sehemu Lakini maisha magumu sana sijafanikiwa kabisa tangu nimalize diploma yangu 2015
Mungu kanisaidia nimepata scholarship ambayo itanilipia ada tu, tafadhali naombeni msaada
Natanguliza shukrani
Niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi wangu! Mimi nikijana niliebahatika kupata scholarship ya kwenda kusoma urusi, ambapo mategemeo yangu ni kuondoka mwakani ,(kwa mujibu wa ubalozi wa urusi nchini Tanzania )
Hii scholarship ina cover tuition fee tu, Lakini kuhusu gharama zifuatazo najitegemea
1. Gharama za kupanga chumba cha kulala
2. Gharama za afya yangu
3. Gharama za kula na kuvaaa
Hivyo naomba msaada wa kupata mtu wa kunisaidia , au taasisi yoyote ambayo naweza kuwaendea wakanisaidia ! Maisha ya mtaani ni magumu sana, nimejitahid kulima na kuomba kazi kila sehemu Lakini maisha magumu sana sijafanikiwa kabisa tangu nimalize diploma yangu 2015
Mungu kanisaidia nimepata scholarship ambayo itanilipia ada tu, tafadhali naombeni msaada
Natanguliza shukrani