Msaada wa kupata Network ya Halotel

Allydasmartboy001

JF-Expert Member
Jul 14, 2018
599
206
Habari za muda huu ndugu zangu,

Shida yangu ni moja tu nimesafiri nipo eneo ambalo internet ya halotel ipo chini sana yaan ina ishia 2G au ikigusa 3G mara moja moja sanaa ila mtandao ambao upo vizur n mmoja tu ambao ni voda ambao unafika 4G je nauliza hakuna ujuzi wowote nao weza kufanya lini yangu hii ya halotel ishare mtandao na voda yaan nao upande 4G au hata 3G tu ili nifanye kazi zangu?
 
Changamoto ya voda ni moja vifurush vyao vya internet bei yake kubwa harafu unapewa Gb ndogo kama hapa natakiwa ni download kitu chenye GB 60 ambapo kwa voda mpaka niwe na zaid ya lak 1 ndio nitapat hicho kifurush cha GB60 wakat halotel ni kwa 1500 una achiwa usiku kucha kwa hyo inshort voda ina gharama sanaa kama ningepata ujuz wa kupata ma GB meng kwa voda ningeenda nunua hata kesho
Kwann usitumie voda hio hio, kwamaana kama ya halo ni 4g na umesema mtandao uko down 2g sidhani kama eneo hilo litapandishaga speed
 
Changamoto ya voda ni moja vifurush vyao vya internet bei yake kubwa harafu unapewa Gb ndogo kama hapa natakiwa ni download kitu chenye GB 60 ambapo kwa voda mpaka niwe na zaid ya lak 1 ndio nitapat hicho kifurush cha GB60 wakat halotel ni kwa 1500 una achiwa usiku kucha kwa hyo inshort voda ina gharama sanaa kama ningepata ujuz wa kupata ma GB meng kwa voda ningeenda nunua hata kesho
Mbna hapo ni mtihani ss
 
Changamoto ya voda ni moja vifurush vyao vya internet bei yake kubwa harafu unapewa Gb ndogo kama hapa natakiwa ni download kitu chenye GB 60 ambapo kwa voda mpaka niwe na zaid ya lak 1 ndio nitapat hicho kifurush cha GB60 wakat halotel ni kwa 1500 una achiwa usiku kucha kwa hyo inshort voda ina gharama sanaa kama ningepata ujuz wa kupata ma GB meng kwa voda ningeenda nunua hata kesho
Lipia cha elfu 3_gb3 kwa week Vodacom
 
Sasa kwa maisha gani niliyo nayo kama hakuna njia hapa nikurud tu nyumban
Usilalamike sana mkuu ukiona gharama sana unaachana nayo, sema cha kufanya jaribu mitandao mingene kuna cha ttcl sajilia line na kitambulisho cha kazini kwako upate Gb za kutosha wana offa kwa wafanyakazi, haya changamka
 
Yaaan!! Kuna sehemu zingne Tanzania zina majina makubwa yaan hata wewe na weza kukutajia lakn hakuna maendeleo ya kimtandao kabisa yaaan hapa nilipo mtandao pekeee unao shika ni voda tena utafurahia ila kuanzia TIGO,HALOTEL,AIRTEL NA UCHAFU MENGINE YOTE YAPO HOVYO TU NATAMAN HATA MIEZ YANGU MIWILI IISHE TU.

Unaweza kujuta kuwa hawa watu wanaishi vipi barabara hawana,maji ndio tatzo umeme mgao kila siku wanakata hata bila taarifa na kwambia kuna watu wanapata shida Tz hii na bado hawaelew acha tu ila january mungu ana muona
Usilalamike sana mkuu ukiona gharama sana unaachana nayo, sema cha kufanya jaribu mitandao mingene kuna cha ttcl sajilia line na kitambulisho cha kazini kwako upate Gb za kutosha wana offa kwa wafanyakazi, haya changamka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huko umewaka sio kwa mtandao wa halotel ni pumbavu kabisa sio kwa slow yao hiyo! Na mi nataka wakirudisha huduma ya kukopa nakopa ten napotea nayo, hawanipati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom